@ThekraJanga

Mmetisha watani..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Simba nguvu mojaπŸ’ͺπŸ’ͺ

@RamRapperTz439

Maana Halisi ya Utani sasaπŸ‘πŸ‘
Anacho kifanya young africansπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’›πŸ’šπŸ”°

@flova7022

Daaahh nimecheka watani ..yaan nlikua nimewachukiaa ila nimejikuta nachekaa tuu dahh bongo sihami

@HarubuBakari

Wamekimbilia polini mamae πŸ’šyanga raha sanaπŸ’›πŸ’ͺπŸ”₯

@YohanaGeorgeKallaghe

Yanga daima mbeleee nyuma mwiko hatuchez tena

@thomasnachenga795

I lov you yanga ...😒tumemfuata mai wetu kwao haiwezekani akimbie geto kirahis rahis ivyo

@raphaelkessy7360

πŸ‘Wame pelekewa Moto hukohuko kwenye Shamba la mihogo BunjuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’š πŸ”₯πŸ”₯

@EliasMwita-q3x

Simba piga hao vyura ngumiπŸ’ͺ

@tetrinumz-tz

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Young Africans ni kama Dozi inafanyiwa hadi derivary yani watake wasitake watainywa tuuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@IreneShadrack-p6c

Huh ni uwanja wa simba nikajua uwanja wa shule yetu ya msingiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@FrankworldwideTV

Hahahaha me ni Simba ila yangaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekubali

@HasanialmasiMussa

Ukishabikia yanga ni Raha Sana β€πŸ˜‚

@AlliMohamed-q2y

Mimi ni simba lakini kwa hii nimewaelewa mashemejiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@BarakaChipalo

Chizi sio lazima aokote makopo, vitendo vinaweza kudhihilisha na kudhibitisha hilo

@AllyMussa-u2l

Yanga bingwa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ”°πŸ”°

@johnyenda1372

Mganga wao ndio walivyoambiwa msipowaona wachezaji wa simba mtafungwa

@Officialboysafi

Bila shaka hizi ni akili πŸ˜… za Ally namjua ndugu yanguπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ

@rizickjonas1916

πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒINAMAANA TEAM NZIMA IMEKOSA MWENYE AKIRI TIMAMU ATOE USHAURIπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

@hamednjapa-n3z

Huwezi sema eti yanga hawana nguvu ya kuvunja mechi hata sisi tunaka mechi ichezwe nyie baadhi ya waandishi wa sasa mnakosa weledi kama walivyokuwa  ma legendary akina James nhende enzi za mfanyakazi from  boy of dzm Hemed njapa wa buguruni.Asanten

@JacksonMaphie-j9v

Big up sana mtani hii ndo mahana halisi ya watani wa jadi mpira siyo vita bhna,, nawakubali sana watani wangu yangaπŸ˜…πŸ˜